sw_tn/isa/07/07.md

811 B

Maelezo ya Jumla

Yahwe anaendelea kumwambia Isaya kile anachotakiwa kumwambia Ahazi.

na mkuu wa Dameski ni Resini

"na mfalme wa Dameski ni Resini, ambaye ni mtu dhaifu"

miaka sitini na tano

miaka mitano "miaka 65"

Efraimu atavunjwavunjwa na hatakuwa kundi la watu tena

Hapa "Efraimu" ina maana wote wa ufalme wa kaskazini wa Israeli. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "jeshi litaangamiza Efraimu, na hapatakuwa tena na watu wa Israeli"

mkuu wa Samaria ni mwana wa Remalia

Hii ina maana Peka ni mfalme wa Samaria na Israeli yote. "mfalme wa Samaria ni Peka, ambaye n mwanamume dhaifu"

kama hautabaki imara katika imani, hakika hautabaki salama

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Ukiendelea kuamini ndani yangu, hakika utabaki salama"

kama hautabaki

"hadi ubaki"