sw_tn/isa/05/15.md

1.4 KiB

Mtu atalazimishwa kuinama chini, na binadamu atashushwa

Misemo inayotumika pamoja ina mana moja na inatumika pamoja kwa msisitizo. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Mungu atafanya kila mtu kuinama chini na kuwa wanyenyekevu".

Mtu atalazimishwa kuinama chini, na binadamu atashushwa

Matukio ya siku za usoni yanazungumziwa kana kwamba vimekwisha tendeka.

Mtu atalazimishwa kuinama chini

Kuinama chini mara kwa mara inaashria kuaibishwa.

macho ya mwenye majivuno yatakuwa chini

Kuangalia chini mara nyingi ni ishara ya kuaibishwa. "macho ya watu wenye kiburi wataangalia chini kwa aibu" au "watu ambao wanamajivuno sasa wana aibu".

mwenye majivuno

Hapa watu wenye kiburi, majivuno wanazungumziwa kana kwamba wapo juu zaidi ya watu wengine. "kiburi"

Yahwe wa majeshi atainuliwa katika haki yake

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Watu watamsifu Yahwe wa majeshi kwa sababu ni mwenye haki"

Yahwe wa majeshi

Yahwe wa majeshi ya Israeli

atainuliwa

Kuheshimiwa inazungumziwa kana kwamba ni kuinuliwa juu. "ataheshimiwa sana"

kondoo watakula kama kwenye malisho yao wenyewe

Yahwe ataangamiza mji wa Yerusalemu, ambao uliitwa "shamba la mizabibu" katika 5:1. Litakuwa zuri bila chochote ila kwa ajili ya kondoo kula nyasi pale.

lisha

kula nyasi

katika uharibifu, kondoo watalisha kama wageni

Yaani, kondoo watalisha pale. Nchi itakuwa haina thamani kwa shughuli nyingine yoyote.