forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
1.4 KiB
Markdown
44 lines
1.4 KiB
Markdown
|
# Mtu atalazimishwa kuinama chini, na binadamu atashushwa
|
||
|
|
||
|
Misemo inayotumika pamoja ina mana moja na inatumika pamoja kwa msisitizo. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Mungu atafanya kila mtu kuinama chini na kuwa wanyenyekevu".
|
||
|
|
||
|
# Mtu atalazimishwa kuinama chini, na binadamu atashushwa
|
||
|
|
||
|
Matukio ya siku za usoni yanazungumziwa kana kwamba vimekwisha tendeka.
|
||
|
|
||
|
# Mtu atalazimishwa kuinama chini
|
||
|
|
||
|
Kuinama chini mara kwa mara inaashria kuaibishwa.
|
||
|
|
||
|
# macho ya mwenye majivuno yatakuwa chini
|
||
|
|
||
|
Kuangalia chini mara nyingi ni ishara ya kuaibishwa. "macho ya watu wenye kiburi wataangalia chini kwa aibu" au "watu ambao wanamajivuno sasa wana aibu".
|
||
|
|
||
|
# mwenye majivuno
|
||
|
|
||
|
Hapa watu wenye kiburi, majivuno wanazungumziwa kana kwamba wapo juu zaidi ya watu wengine. "kiburi"
|
||
|
|
||
|
# Yahwe wa majeshi atainuliwa katika haki yake
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Watu watamsifu Yahwe wa majeshi kwa sababu ni mwenye haki"
|
||
|
|
||
|
# Yahwe wa majeshi
|
||
|
|
||
|
Yahwe wa majeshi ya Israeli
|
||
|
|
||
|
# atainuliwa
|
||
|
|
||
|
Kuheshimiwa inazungumziwa kana kwamba ni kuinuliwa juu. "ataheshimiwa sana"
|
||
|
|
||
|
# kondoo watakula kama kwenye malisho yao wenyewe
|
||
|
|
||
|
Yahwe ataangamiza mji wa Yerusalemu, ambao uliitwa "shamba la mizabibu" katika 5:1. Litakuwa zuri bila chochote ila kwa ajili ya kondoo kula nyasi pale.
|
||
|
|
||
|
# lisha
|
||
|
|
||
|
kula nyasi
|
||
|
|
||
|
# katika uharibifu, kondoo watalisha kama wageni
|
||
|
|
||
|
Yaani, kondoo watalisha pale. Nchi itakuwa haina thamani kwa shughuli nyingine yoyote.
|