forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
962 B
Markdown
36 lines
962 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla
|
|
|
|
Isaya anazungumza na watu wa Yuda katika mtindo wa shairi.
|
|
|
|
# Taifa, wenye dhambi
|
|
|
|
Maana zawezekana kuwa 1) Isaya anasema mambo mawili tofauti juu yao. "Taifa la Israeli, nyie wenye dhambi" au 2) anasema jambo moja tu kuhusu wao. "Taifa la wenye dhambi"
|
|
|
|
# watu waliolemewa kwa udhalimu
|
|
|
|
Kitu kizito sana ambacho mtu anweza kubeba ni sitiari ya dhambi nyingi. "dhambi yao ni kama mfuko mzito juu ya mabega yao unaowafanya vigumu kwao kutembea"
|
|
|
|
# mtoto wa waovu
|
|
|
|
Neno "mtoto" ni sitiari ya watu ambao hufanya kile wengine walichokwisha fanya. "watu ambao hufanya uovu ule ule wanaouona wengine wakifanya"
|
|
|
|
# tenda mabaya
|
|
|
|
fanya mambo maovu
|
|
|
|
# Wamemtelekeza Yahwe
|
|
|
|
"Wameondoka mbali kutoka kwa Yahwe"
|
|
|
|
# wamemdharau
|
|
|
|
"wamekataa kutii" au "wamekataa kuheshimu"
|
|
|
|
# Israel
|
|
|
|
Yuda ni sehemu ya iliyokuwa taifa la Israeli.
|
|
|
|
# Wamejitenganisha kutoka kwake
|
|
|
|
Ingawa katika kipindi kimoja walikuwa marafiki, kwa sasa wanamtendea kana kwamba hawamjui.
|