forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
672 B
Markdown
24 lines
672 B
Markdown
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
Bwana anazungumza.
|
|
|
|
# Nitawaponya kugeuka kwao
|
|
|
|
Kuwafanya watu wasigeuke toka kwa Mungu kunazungumwa kama kitendo cha kuponya.
|
|
|
|
# kugeuka kwao
|
|
|
|
Watu kushindwa kumtii Mungu kunazungumzwa kama kitendo cha kugeuka toka kwake.
|
|
|
|
# Nitakuwa kama umande kwa Israeli; atachanua kama maua
|
|
|
|
Bwana anazungumza akijifananisha na umande unaohitajika ili kuupa rutuba mmea na Israeli inafananishwa na ua litakalochanua.
|
|
|
|
# kuchukua mizizi kama mwerezi nchini Lebanoni
|
|
|
|
Taswira ya Israeli kama mmea inaendelea lakini hapa inafananishwa na mierezi wa Lebanoni.
|
|
|
|
# Matawi yake yataenea ... kama mierezi ya Lebanoni
|
|
|
|
Sehwmu hii inaendelea kuzungumzia kitu hicho hicho.
|