sw_tn/hos/14/04.md

672 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza.

Nitawaponya kugeuka kwao

Kuwafanya watu wasigeuke toka kwa Mungu kunazungumwa kama kitendo cha kuponya.

kugeuka kwao

Watu kushindwa kumtii Mungu kunazungumzwa kama kitendo cha kugeuka toka kwake.

Nitakuwa kama umande kwa Israeli; atachanua kama maua

Bwana anazungumza akijifananisha na umande unaohitajika ili kuupa rutuba mmea na Israeli inafananishwa na ua litakalochanua.

kuchukua mizizi kama mwerezi nchini Lebanoni

Taswira ya Israeli kama mmea inaendelea lakini hapa inafananishwa na mierezi wa Lebanoni.

Matawi yake yataenea ... kama mierezi ya Lebanoni

Sehwmu hii inaendelea kuzungumzia kitu hicho hicho.