sw_tn/hos/13/16.md

427 B

Taarifa ya jumla:

Nabii Hosea anazungumza.

Samaria itakuwa na hatia, kwa sababu ameasi dhidi ya Mungu wake

"Samaria" inamaanisha watu wa mji wa Samaria walio na hatia ya uasi dhidi ya Mungu.

Wataanguka

Watu watakufa.

kwa upanga

Vitani.

watoto wao wadogo watavunjwa, na wanawake wao wajawazito watararuriwa wazi

"adui watawavunja watoto wao wadogo vipande vipande na kuwararua wazi wazi wanawake waajawazito"