sw_tn/hos/13/07.md

329 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza.

kama simba ... kama chui ... kama dubu ... kama vile mnyama wa mwitu

Hawa ni wanyama wa porini ambao huvamia na kuwaua wanyama wengine.

kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake

"kama dubu ambaye atashambulia mnyama atakayechukua watoto wake"

kama simba

"kama simba atakavyowala"