sw_tn/hos/13/07.md

16 lines
329 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Taarifa ya jumla:
Bwana anazungumza.
# kama simba ... kama chui ... kama dubu ... kama vile mnyama wa mwitu
Hawa ni wanyama wa porini ambao huvamia na kuwaua wanyama wengine.
# kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake
"kama dubu ambaye atashambulia mnyama atakayechukua watoto wake"
# kama simba
"kama simba atakavyowala"