forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
810 B
Markdown
28 lines
810 B
Markdown
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
Nabii Hosea anazungumza.
|
|
|
|
# Efraimu hujilisha upepo
|
|
|
|
Wana wa Israeli wanafanya mambo ambayo hayatawasaidia ni sawasawa na kujilisha upepo.
|
|
|
|
# kufuata upepo wa mashariki.
|
|
|
|
Upepo wa mashariki ulikuwa na joto sana na wenye kuharibu. Hii inamaanisha kuwa majeshi kutoka mashariki ambayo Bwana atayatuma kuwaharibu wana wa Israeli.
|
|
|
|
# huchukua mafuta ya Misri
|
|
|
|
Wana wa Israeli walipeleka mafuta kama zawadi kwa mfalme wa Israeli na kumsihi awasaidie.
|
|
|
|
# Bwana pia ana mashtaka dhidi ya Yuda
|
|
|
|
Bwana anasema kwamba watu wa Yuda wamemtenda dhambi na kuvunja agano lake.
|
|
|
|
# dhidi ya Yuda ... ataadhibu Yakobo ... kwa yale aliyoyatenda ... atamlipa kwa matendo yake
|
|
|
|
"Yuda" na "Yakobo" wote wanawakilisha watu wa Yuda.
|
|
|
|
# mashitaka
|
|
|
|
Haya ni malalamiko ya mtu mmoja dhidi ya mtu mwingine mahakamani.
|