sw_tn/hos/12/01.md

810 B

Taarifa ya jumla:

Nabii Hosea anazungumza.

Efraimu hujilisha upepo

Wana wa Israeli wanafanya mambo ambayo hayatawasaidia ni sawasawa na kujilisha upepo.

kufuata upepo wa mashariki.

Upepo wa mashariki ulikuwa na joto sana na wenye kuharibu. Hii inamaanisha kuwa majeshi kutoka mashariki ambayo Bwana atayatuma kuwaharibu wana wa Israeli.

huchukua mafuta ya Misri

Wana wa Israeli walipeleka mafuta kama zawadi kwa mfalme wa Israeli na kumsihi awasaidie.

Bwana pia ana mashtaka dhidi ya Yuda

Bwana anasema kwamba watu wa Yuda wamemtenda dhambi na kuvunja agano lake.

dhidi ya Yuda ... ataadhibu Yakobo ... kwa yale aliyoyatenda ... atamlipa kwa matendo yake

"Yuda" na "Yakobo" wote wanawakilisha watu wa Yuda.

mashitaka

Haya ni malalamiko ya mtu mmoja dhidi ya mtu mwingine mahakamani.