sw_tn/hos/10/01.md

494 B

Taarifa ya jumla:

Hosea anazungumza juu ya Israeli.

Israeli ni mzabibu mzuri ambao huzaa matunda yake

Israeli inazungumzwa kama mzabibu unaozaa matunda.

Mzabibu mzuri

Mzabibu huu unatoa matunda kuliko kawaida.

kwa kadiri matunda yake yanavyoongezeka .... nchi uake inazalisha sana

Hii inamaanisha kuwa watu walinawiri na kuwe wenye nguvu na matajiri.

Moyo wao ni udanganyifu

"Wao ni wadanganyifu"

sasa wanapaswa kubeba hatia yao

"Sasa ni wakati ambao Bwana atawaadhibu"