Taarifa ya jumla:
Bwana anazungumza kwenye mstari wa 16. Hosea anaanza kuzungumza mstari wa 17.
Efraimu ni mgonjwa, na mizizi yao imekauka; hawazai matunda
Bwana anawazungumzia wana wa Israeli kama mti wenye ugonjwa usioweza kuzaa matunda na upo tayari kukatwa.