sw_tn/hos/09/16.md

269 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza kwenye mstari wa 16. Hosea anaanza kuzungumza mstari wa 17.

Efraimu ni mgonjwa, na mizizi yao imekauka; hawazai matunda

Bwana anawazungumzia wana wa Israeli kama mti wenye ugonjwa usioweza kuzaa matunda na upo tayari kukatwa.