forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
269 B
Markdown
8 lines
269 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Bwana anazungumza kwenye mstari wa 16. Hosea anaanza kuzungumza mstari wa 17.
|
||
|
|
||
|
# Efraimu ni mgonjwa, na mizizi yao imekauka; hawazai matunda
|
||
|
|
||
|
Bwana anawazungumzia wana wa Israeli kama mti wenye ugonjwa usioweza kuzaa matunda na upo tayari kukatwa.
|