forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
310 B
Markdown
12 lines
310 B
Markdown
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
Bwana anazungumza
|
|
|
|
# utukufu wao utatoka kama ndege
|
|
|
|
Watu wa Efraimu watapoteza kila kitu kilichokuwa kinafanya mataifa mengine yawaheshimu. Utukufu wao utapotea haraka kama ndege apaavyo.
|
|
|
|
# nikiwaacha
|
|
|
|
Mungu akiacha kuusaidia ufalme wa kaskazini itakuwa kama vile ameondoka kabisa kwao.
|