sw_tn/hos/09/11.md

310 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza

utukufu wao utatoka kama ndege

Watu wa Efraimu watapoteza kila kitu kilichokuwa kinafanya mataifa mengine yawaheshimu. Utukufu wao utapotea haraka kama ndege apaavyo.

nikiwaacha

Mungu akiacha kuusaidia ufalme wa kaskazini itakuwa kama vile ameondoka kabisa kwao.