forked from WA-Catalog/sw_tn
310 B
310 B
Taarifa ya jumla:
Bwana anazungumza
utukufu wao utatoka kama ndege
Watu wa Efraimu watapoteza kila kitu kilichokuwa kinafanya mataifa mengine yawaheshimu. Utukufu wao utapotea haraka kama ndege apaavyo.
nikiwaacha
Mungu akiacha kuusaidia ufalme wa kaskazini itakuwa kama vile ameondoka kabisa kwao.