forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1001 B
Markdown
32 lines
1001 B
Markdown
# Taarifa ya jumla
|
|
|
|
Nabii Hosea anazungumza.
|
|
|
|
# Utafanya nini siku ya sikukuu iliyowekwa rasmi, siku ya sikukuu ya Yahweh?
|
|
|
|
Hosea anatumia swali hili kusisitiza kuwa watu hawataweza kushuhudia sikukuu zao ikiwa adui watawashinda na kuwashukua mateka.
|
|
|
|
# siku ya sikukuu iliyowekwa rasmi ... siku ya sikukuu ya Yahweh
|
|
|
|
Zote hizi zina maana moja.
|
|
|
|
# Kama wamekimbia
|
|
|
|
Hapa wanazungumziwa wana wa Israeli.
|
|
|
|
# Misri itawakusanya, na Nofu itawazika
|
|
|
|
Misri na Nofu inamaanisha watu wanaoishi pale. "Jeshi la Wamisri litawakamata, mtakufa huko na watu wa mji wa Nofu watawazika"
|
|
|
|
# Maana hazina zao za pesa- michongoma mikali itakuwa nao
|
|
|
|
Michongoma imeota sehemu ambayo Israeli walihifadhi fedha zao michongoma hii imefananishwa na adui ambaye atakuja kuchukua mali wanazomiliki Waisraeli.
|
|
|
|
# michongoma itakuwa nao, na miiba itajaza hema zao.
|
|
|
|
"michongoma" na "miiba" inamaana moja. Michongoma na miiba ikiota inamanisha ardhi hiyo ni kama jangwa.
|
|
|
|
# Hema zao
|
|
|
|
Hapa "hema" inawakilisha nyumba za Waisraeli.
|