sw_tn/hos/08/04.md

731 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza.

ili wakatiliwe mbali

Hii inaweza kuandikwa "lakini matokeo yake yatakuwa kwamba nitawaharibu watu hao"

Kukatwa

Kuharibiwa

Ndama yako imekataliwa, Samaria

Inaweza kuwa na maana 1) Kuhani anazungumza au 2) Bwana anazungumza. "Mimi mwenyewe nitakataa ndama yako, Samaria."

Ndama wako

Mfalme Yeroboamu wa pili wa Israeli alitengeneza miungu miwili ya dhahabu inayofanana na ndama na kuiweka juu ili watu wa ufalme wake waziabudu.

Hasira yangu inawaka juu ya watu hawa

Hasira inazungumzwa kama moto.

Kwa muda gani watakuwa na hatia?

Bwana anauliza swali ili kuonesha hasira yake kuhusu watu wake walio chafuka. "Nina hasira na watu hawa kwa sababu hawatamani kuwa salama"