forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
731 B
Markdown
28 lines
731 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Bwana anazungumza.
|
||
|
|
||
|
# ili wakatiliwe mbali
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuandikwa "lakini matokeo yake yatakuwa kwamba nitawaharibu watu hao"
|
||
|
|
||
|
# Kukatwa
|
||
|
|
||
|
Kuharibiwa
|
||
|
|
||
|
# Ndama yako imekataliwa, Samaria
|
||
|
|
||
|
Inaweza kuwa na maana 1) Kuhani anazungumza au 2) Bwana anazungumza. "Mimi mwenyewe nitakataa ndama yako, Samaria."
|
||
|
|
||
|
# Ndama wako
|
||
|
|
||
|
Mfalme Yeroboamu wa pili wa Israeli alitengeneza miungu miwili ya dhahabu inayofanana na ndama na kuiweka juu ili watu wa ufalme wake waziabudu.
|
||
|
|
||
|
# Hasira yangu inawaka juu ya watu hawa
|
||
|
|
||
|
Hasira inazungumzwa kama moto.
|
||
|
|
||
|
# Kwa muda gani watakuwa na hatia?
|
||
|
|
||
|
Bwana anauliza swali ili kuonesha hasira yake kuhusu watu wake walio chafuka. "Nina hasira na watu hawa kwa sababu hawatamani kuwa salama"
|