sw_tn/hos/07/16.md

356 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza.

Wao ni kama upinde usiotumainika

Huu upinde hautumiki.

kwa sababu ya udhalimu wa vinywa vyao

Hapa "vinywa" ni maneno yaliyosemwa na maofisa. "Kwa sababu wamenitukana mimi" au "kwa sababu wamenilaani mimi"

Hii itakuwa ni aibu yao katika nchi ya Misri.

"Hii ndiyo sababu kwamba Misri itawacheka Waisraeli"