forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
356 B
Markdown
16 lines
356 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Bwana anazungumza.
|
||
|
|
||
|
# Wao ni kama upinde usiotumainika
|
||
|
|
||
|
Huu upinde hautumiki.
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu ya udhalimu wa vinywa vyao
|
||
|
|
||
|
Hapa "vinywa" ni maneno yaliyosemwa na maofisa. "Kwa sababu wamenitukana mimi" au "kwa sababu wamenilaani mimi"
|
||
|
|
||
|
# Hii itakuwa ni aibu yao katika nchi ya Misri.
|
||
|
|
||
|
"Hii ndiyo sababu kwamba Misri itawacheka Waisraeli"
|