forked from WA-Catalog/sw_tn
419 B
419 B
Taarifa ya jumla:
Bwana anazungumza.
wanaomboleza kwenye vitanda vyao
Ilikuwa ni kawaida kwa wanaoabudu sanamu kula nyama za sherehe wakiwa wamelala kwenye vitanda.
nao wananiasi mimi
Hawamwabudu tena Bwana wamegeuka na kumwacha.
Ingawa niliwafundisha na kuimarisha mikono yao
Mungu aliwafundisha Waisraeli kumpenda na kumtii yeye kitendo hiki kinazungumzwa kama kitendo cha kuwafundisha watu wake vita.