sw_tn/hos/07/14.md

419 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza.

wanaomboleza kwenye vitanda vyao

Ilikuwa ni kawaida kwa wanaoabudu sanamu kula nyama za sherehe wakiwa wamelala kwenye vitanda.

nao wananiasi mimi

Hawamwabudu tena Bwana wamegeuka na kumwacha.

Ingawa niliwafundisha na kuimarisha mikono yao

Mungu aliwafundisha Waisraeli kumpenda na kumtii yeye kitendo hiki kinazungumzwa kama kitendo cha kuwafundisha watu wake vita.