forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
419 B
Markdown
16 lines
419 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Bwana anazungumza.
|
||
|
|
||
|
# wanaomboleza kwenye vitanda vyao
|
||
|
|
||
|
Ilikuwa ni kawaida kwa wanaoabudu sanamu kula nyama za sherehe wakiwa wamelala kwenye vitanda.
|
||
|
|
||
|
# nao wananiasi mimi
|
||
|
|
||
|
Hawamwabudu tena Bwana wamegeuka na kumwacha.
|
||
|
|
||
|
# Ingawa niliwafundisha na kuimarisha mikono yao
|
||
|
|
||
|
Mungu aliwafundisha Waisraeli kumpenda na kumtii yeye kitendo hiki kinazungumzwa kama kitendo cha kuwafundisha watu wake vita.
|