sw_tn/hos/07/01.md

527 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza.

Nataka kuiponya Israeli

Kuifanya Israeli imtii Mungu tena na kitendo cha kupokea baraka kinazungumzwa kama kitendo cha uponyaji.

kwa sababu wanafanya udanganyifu

Watu walikuwa wanauza na kununua bidhaa kwa udanganyifu.

kundi la wanyang'anyi

Hili ni kundi la watu wanaowavamia watu wengine bila sababu.

matendo yao huwazunguka

Haya matendo yao maovu yanafananishwa na watu wanaliotayari kuwashitaki kwa maovu yao.

yapo mbele ya uso wangu.

"Uso" huu ni uwepo wa Mungu.