forked from WA-Catalog/sw_tn
527 B
527 B
Taarifa ya jumla:
Bwana anazungumza.
Nataka kuiponya Israeli
Kuifanya Israeli imtii Mungu tena na kitendo cha kupokea baraka kinazungumzwa kama kitendo cha uponyaji.
kwa sababu wanafanya udanganyifu
Watu walikuwa wanauza na kununua bidhaa kwa udanganyifu.
kundi la wanyang'anyi
Hili ni kundi la watu wanaowavamia watu wengine bila sababu.
matendo yao huwazunguka
Haya matendo yao maovu yanafananishwa na watu wanaliotayari kuwashitaki kwa maovu yao.
yapo mbele ya uso wangu.
"Uso" huu ni uwepo wa Mungu.