forked from WA-Catalog/sw_tn
587 B
587 B
Taarifa ya jumla:
Mungu anazungumza juu ya Yuda na Israeli.
Kwa hiyo nitakuwa kama simba kwa Efraimu
Bwana ataenda kuishambulia Efraimu kama simba.
kama mwana simba kwa nyumba ya Yuda
Bwana atawatendea Yuda vivyo hivyo.
Mimi, naam mimi
Bwana anasisitiza kuwa yeye ataleta hukumu kwa watu wake wote.
Nitararua
Kama simba anavyorarua mnyama anayemla hivyo Bwana atawararua watu waketoka kwenye nyumba na nchi yao.
Nitakwenda na kurudi mahali pangu
Bwana atawaacha waasi.
na kutafuta uso wangu
Kujaribu kwenda katika uwepo wa Mungu kwa njia ya kuabudu na kafara.