sw_tn/hos/05/14.md

587 B

Taarifa ya jumla:

Mungu anazungumza juu ya Yuda na Israeli.

Kwa hiyo nitakuwa kama simba kwa Efraimu

Bwana ataenda kuishambulia Efraimu kama simba.

kama mwana simba kwa nyumba ya Yuda

Bwana atawatendea Yuda vivyo hivyo.

Mimi, naam mimi

Bwana anasisitiza kuwa yeye ataleta hukumu kwa watu wake wote.

Nitararua

Kama simba anavyorarua mnyama anayemla hivyo Bwana atawararua watu waketoka kwenye nyumba na nchi yao.

Nitakwenda na kurudi mahali pangu

Bwana atawaacha waasi.

na kutafuta uso wangu

Kujaribu kwenda katika uwepo wa Mungu kwa njia ya kuabudu na kafara.