forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
587 B
Markdown
28 lines
587 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Mungu anazungumza juu ya Yuda na Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Kwa hiyo nitakuwa kama simba kwa Efraimu
|
||
|
|
||
|
Bwana ataenda kuishambulia Efraimu kama simba.
|
||
|
|
||
|
# kama mwana simba kwa nyumba ya Yuda
|
||
|
|
||
|
Bwana atawatendea Yuda vivyo hivyo.
|
||
|
|
||
|
# Mimi, naam mimi
|
||
|
|
||
|
Bwana anasisitiza kuwa yeye ataleta hukumu kwa watu wake wote.
|
||
|
|
||
|
# Nitararua
|
||
|
|
||
|
Kama simba anavyorarua mnyama anayemla hivyo Bwana atawararua watu waketoka kwenye nyumba na nchi yao.
|
||
|
|
||
|
# Nitakwenda na kurudi mahali pangu
|
||
|
|
||
|
Bwana atawaacha waasi.
|
||
|
|
||
|
# na kutafuta uso wangu
|
||
|
|
||
|
Kujaribu kwenda katika uwepo wa Mungu kwa njia ya kuabudu na kafara.
|