forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
609 B
Markdown
24 lines
609 B
Markdown
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
Mungu anazungumza juu ya Yuda na Israeli.
|
|
|
|
# nitakuwa kama nondo kwa Efraimu, na kama uozo kwa nyumba ya Yuda
|
|
|
|
Bwana ataangamiza mataifa yote.
|
|
|
|
# Nondo ... uozo
|
|
|
|
Maneno haya yanatafsiriwa kwa njia mbali mbali kwa sababu maana ya kiebrania ni pana sana na isiyo na uhakika.
|
|
|
|
# Efraimu alipoona ugonjwa wake, Yuda akaona jeraha lake
|
|
|
|
Efraimu na Yuda wote walitambua kuwa wapo kwenye hatari.
|
|
|
|
# Efraimu akaenda Ashuru; Yuda akatuma wajumbe kwa mfalme mkuu
|
|
|
|
Efraimu na Yuda walimuomba Ashuru msaada badala ya kumuomba Mungu awasaidie.
|
|
|
|
# Lakini hakuweza
|
|
|
|
Hapa anazungumziwa mfalme wa Ashuru.
|