sw_tn/hos/05/12.md

609 B

Taarifa ya jumla:

Mungu anazungumza juu ya Yuda na Israeli.

nitakuwa kama nondo kwa Efraimu, na kama uozo kwa nyumba ya Yuda

Bwana ataangamiza mataifa yote.

Nondo ... uozo

Maneno haya yanatafsiriwa kwa njia mbali mbali kwa sababu maana ya kiebrania ni pana sana na isiyo na uhakika.

Efraimu alipoona ugonjwa wake, Yuda akaona jeraha lake

Efraimu na Yuda wote walitambua kuwa wapo kwenye hatari.

Efraimu akaenda Ashuru; Yuda akatuma wajumbe kwa mfalme mkuu

Efraimu na Yuda walimuomba Ashuru msaada badala ya kumuomba Mungu awasaidie.

Lakini hakuweza

Hapa anazungumziwa mfalme wa Ashuru.