forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
374 B
Markdown
16 lines
374 B
Markdown
# Sentensi Unganishi:
|
|
|
|
Mwandishi anafunga kwa baraka na salaamu
|
|
|
|
# Tuombeeni
|
|
|
|
"Tuombeeni"hapa anamanisha mwandishi na wenzake.
|
|
|
|
# tuna uhakika kwamba tuna dhamira njema/ safi
|
|
|
|
njema/ safi hapa inamaanisha hatuna hatia.
|
|
|
|
# kwamba nitarudi tena kwenu hivi karibuni
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "kwamba Mungu akipenda nitaondoa mambo yanayonizuia kuja kwenu"
|