forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
778 B
Markdown
20 lines
778 B
Markdown
# Waebrania 12 Maelezo kwa jumla
|
|
|
|
## Muundo na mpangilio
|
|
|
|
Baada ya kuwafundisha watu umuhimu wa adhabu, mwandishi anaanza mfuatano ya mahubiri. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/exhort]]).
|
|
|
|
Watafsiri wengine wameweka kila msitari wa ushairi kulia kuliko maandishi mengine ili isomeke kwa urahisi. ULB inafanya hivi na ushairi katika 12:5-6, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.
|
|
|
|
## Dhana muhimu katika sura hii
|
|
|
|
### Nidhamu
|
|
|
|
Mungu anataka watu wake kutenda yaliyo mema.Wakifanya kile hakipendi, anatakikana kuwarekebisha ama kuwadhibu. Yeye hufanya hivi jinsi baba wa duniani huwarekebisha na kuwadhibu watoto wao wanaowapenda. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/discipline]])
|
|
|
|
## Links:
|
|
|
|
* __[Hebrews 12:01 Notes](./01.md)__
|
|
|
|
__[<<](../11/intro.md) | [>>](../13/intro.md)__
|