forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
777 B
Markdown
36 lines
777 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Nukuu hii hapa kutoka kwa nabii Hagai inarudiwa kutoka mstari wa mwanzo.
|
|
|
|
# kutoweshwa kwa vitu vile viteteshwavyo
|
|
|
|
'Mungu ataondoa vitu vyote vinavyotetemeshwa"
|
|
|
|
# tetemeshwa
|
|
|
|
Tumia neno kwa tetemeko la ardhi linachofanya katika kutembea kwenye ardhi.
|
|
|
|
# vilivyokwisha kuumbwa
|
|
|
|
"kwamba amekwisha umba."
|
|
|
|
# hivi vitu ambavyo haviwezi
|
|
|
|
'vitu ambavyo havitetemeki"
|
|
|
|
# kupokea ufalme
|
|
|
|
"kwa sababu tunapokea ufalme au " kwa "sababu Mungu anatufanya sisi kuwa wanafamilia wa ufalme wake"
|
|
|
|
# tufurahi
|
|
|
|
"tumshukuru Mungu"
|
|
|
|
# kunyenyekea katika kicho
|
|
|
|
"kunyenyekea" na "kicho" yana maanshabiliana maana na inasisitiza ukuu wa unyenyekevu kwa sababu ya Mungu"
|
|
|
|
# Mungu wetu ni moto ulao
|
|
|
|
Mungu anaongelewa kana kwamba ni moto ambao unaweza kuchoma kitu chochote.
|