forked from WA-Catalog/sw_tn
18 lines
501 B
Markdown
18 lines
501 B
Markdown
# Waebrania 11 Maelezo kwa jumla
|
|
|
|
## Muundo
|
|
|
|
Mwandishi anaanza sura hii kwa kuelezea nini maana ya imani. Baadaye anapeana mifano mingi ya watu waliokuwa na imani na jinsi walivyoishi.
|
|
|
|
## Dhana muhimu katika sura hii.
|
|
|
|
### Imani
|
|
|
|
Katika maagano yote mapya na ya zamani, Mungu alihitaji imani. Watu wengine wa imani walifanya miujiza na walikuwa wenye nguvu sana. Watu wengine wa imani waliteseka sana.
|
|
|
|
## Links:
|
|
|
|
* __[Hebrews 11:01 Notes](./01.md)__
|
|
|
|
__[<<](../10/intro.md) | [>>](../12/intro.md)__
|