forked from WA-Catalog/sw_tn
807 B
807 B
Sentensi Unganishi:
mwandishi anaendelea kuongelea kwa kile ambacho Mungu angefanya kwa mababu wa Israeli.
Niseme nini tena
Mwandishi anatumia swali kusisitiza kwamba kuna mifani mingi ambayo aliyoinukuu.
Muda hauta niruhusu
"Sita kuwa na muda wa kutosha"
Baraka
Jina la mtu.
ilikuwa ni kwa kupitia imani kwamba wali
"ilikuwa ni kwa ajili ya imani wale wanaume kama hivi"
walishinda
"waliwashinda watu wa falme ngeni"
Shinda
Iliyoshinda
Simamisha vinywa vya simba alizima nguvu ya moto... alikwepa makali ya ncha ya upanga
Njia ambazo watu wa Israeli waliokoka kutoka kifo. "Simba hawakuwala... moto haukuwaunguza." Upanga haukuwaua."
Waliponywa
"walipokea uponyaji kutoka kwa Mungu"
wakawa hodari katika vita, na wakashinda
"wakawa hodari katika vita na wakashinda"