forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
807 B
Markdown
40 lines
807 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi:
|
||
|
|
||
|
mwandishi anaendelea kuongelea kwa kile ambacho Mungu angefanya kwa mababu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Niseme nini tena
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anatumia swali kusisitiza kwamba kuna mifani mingi ambayo aliyoinukuu.
|
||
|
|
||
|
# Muda hauta niruhusu
|
||
|
|
||
|
"Sita kuwa na muda wa kutosha"
|
||
|
|
||
|
# Baraka
|
||
|
|
||
|
Jina la mtu.
|
||
|
|
||
|
# ilikuwa ni kwa kupitia imani kwamba wali
|
||
|
|
||
|
"ilikuwa ni kwa ajili ya imani wale wanaume kama hivi"
|
||
|
|
||
|
# walishinda
|
||
|
|
||
|
"waliwashinda watu wa falme ngeni"
|
||
|
|
||
|
# Shinda
|
||
|
|
||
|
Iliyoshinda
|
||
|
|
||
|
# Simamisha vinywa vya simba alizima nguvu ya moto... alikwepa makali ya ncha ya upanga
|
||
|
|
||
|
Njia ambazo watu wa Israeli waliokoka kutoka kifo. "Simba hawakuwala... moto haukuwaunguza." Upanga haukuwaua."
|
||
|
|
||
|
# Waliponywa
|
||
|
|
||
|
"walipokea uponyaji kutoka kwa Mungu"
|
||
|
|
||
|
# wakawa hodari katika vita, na wakashinda
|
||
|
|
||
|
"wakawa hodari katika vita na wakashinda"
|