sw_tn/heb/09/16.md

257 B

wosia

hati ya kisheria ambayo inamtaja mtu ambaye angepokea zile mali wakati mwenye mali akifa.

kifo cha mtu aliyetenda ni lazima kihakikishwe

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "mtu ni lazima ahakikishe kwamba mtu aliweka wosia amekufa"