forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
908 B
Markdown
32 lines
908 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Nukuu hii inatoka katika Zaburi ya mfalme Daudi
|
|
|
|
# haya tuyasemayo ni wazi hasa
|
|
|
|
" tunaweza kuelewa hata zaidi." "tuna" inamaanisha mwandishi na watu anaowaandikia.
|
|
|
|
# ikiwa kuhani mwingine atatokea
|
|
|
|
"kama kuhani mwingine atakuja"
|
|
|
|
# kwa mfano wa Melikizedeki
|
|
|
|
Hii ina maana kwamba kristo ana sifa sawa na kuhani Melikizedeki.
|
|
|
|
# kwa msingi wa sheria zinazohusiana na uzao wa mwili
|
|
|
|
wazo la huzao wa mtu linaongelewa kana kwamba ilikuwa inashughulika na mwili wa mtu.
|
|
|
|
# lakini katika msingi wa nguvu ya maisha yasiyo haribika
|
|
|
|
Neno " alifanyika kuhani" linaeleweka. AT: "lakini alikuwa kuhani kwa msingi wa nguvu ya maisha ambayo hayatakoma"
|
|
|
|
# Kwa sababu maandiko yanashuhudia kuhu yeye
|
|
|
|
Hii inaongelewa kana kwamba andiko ni mtu ambaye angeweza kushuhudia kuhusu kitu.
|
|
|
|
# kwa mfano wa Melikizedeki
|
|
|
|
Hii ina maanisha kwamba Kristo kama kuhani ana sifa sawa na za kuhani Melikizedeki.
|