forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
945 B
Markdown
24 lines
945 B
Markdown
# kwa warithi wa ahadi
|
|
|
|
kwa watu ambao Mungu amewawekea ahadi wanaongelewa kana kwamba walikuwa warithi kitu na utajiri kutoka kwa mwanafamilia. AT: "kwa wote ambao wangepokea kile alichoahidi"
|
|
|
|
# kwa kusudi zuri lisilobadilika
|
|
|
|
"kwamba kusudi lake halitabadilika kamwe" au "kwamba mara zote atafanya kile alichosema atafanya"
|
|
|
|
# kwa vitu viwili visivyobadilika
|
|
|
|
Hii ina maana ahadi ya Mungu na kiapo cha Mungu. Wala hivi haviwezi kubadilika.
|
|
|
|
# ambavyo katika hivyo haiwezekani kabisa Mungu kudanganya
|
|
|
|
Vikanushi hivi viwili vinaweza kumaanisha kwamba Mungu atasema kweli kuhusu hali hii. AT:"ambayo mara zote Mungu husema kweli"
|
|
|
|
# sisi, tuliokimbilia
|
|
|
|
Waumini, ambao wanatumaini katika Mungu kwa yeye kuwalinda, wanaongelewa kana kwamba walikuwa wanakimbilia kwenye sehemu salama. AT: ""sisi, ambao tuliomtumaini yeye"
|
|
|
|
# lile lililowekwa mbele zetu
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "kile ambacho Mungu ameweka mbele zetu"
|