sw_tn/heb/06/11.md

550 B

tunatamani sana

Ingawa mwandishi anatumia wingi lakini anamaanisha yeye mwenyewe.

bidii

uangalifu, kazi ngumu

mpaka mwisho

AT: "mpaka mwisho wa maisha yako"

kwa ajili ya uhakika wa ujasiri

"ili kuwa na uhakika timilifu kuwa mtapokea kile ambacho Mungu amewaahidi ninyi"

waigaji

"muigaji" ni mtu ambaye ana nakili tabia ya mtu mwingine.

kuzirithi ahadi

kupokea kile ambacho Mungu alichowaahidi waumini kinaongelewa kana kwamba ilikuwa wanarithi kitu na utajiri kutoka kwa mwanafamilia. AT: " pokea kileambacho Mungu amewaahidi"