forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
550 B
Markdown
24 lines
550 B
Markdown
|
# tunatamani sana
|
||
|
|
||
|
Ingawa mwandishi anatumia wingi lakini anamaanisha yeye mwenyewe.
|
||
|
|
||
|
# bidii
|
||
|
|
||
|
uangalifu, kazi ngumu
|
||
|
|
||
|
# mpaka mwisho
|
||
|
|
||
|
AT: "mpaka mwisho wa maisha yako"
|
||
|
|
||
|
# kwa ajili ya uhakika wa ujasiri
|
||
|
|
||
|
"ili kuwa na uhakika timilifu kuwa mtapokea kile ambacho Mungu amewaahidi ninyi"
|
||
|
|
||
|
# waigaji
|
||
|
|
||
|
"muigaji" ni mtu ambaye ana nakili tabia ya mtu mwingine.
|
||
|
|
||
|
# kuzirithi ahadi
|
||
|
|
||
|
kupokea kile ambacho Mungu alichowaahidi waumini kinaongelewa kana kwamba ilikuwa wanarithi kitu na utajiri kutoka kwa mwanafamilia. AT: " pokea kileambacho Mungu amewaahidi"
|