forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
1.2 KiB
Markdown
36 lines
1.2 KiB
Markdown
# wale ambao waliipata nuru
|
|
|
|
uelewa unaongelewa kana kwamba ilikuwa ni kupatiwa nuru. AT: "wale ambao awali walielewa ujumbe kuhusu Kristo"
|
|
|
|
# ambao walionja kipawa cha mbinguni
|
|
|
|
kuonja wokovu kunaongelewa kana kwamba ni kuoonja chakula. AT: walionja nguvu ya Mungu ya kuokoa"
|
|
|
|
# kufanywa kuwa washirika wa Roho Mtakatifu,
|
|
|
|
Roho Mtakatifu ambaye anakuja kwa waumini, anaongelewa kana kwamba ni chombo ambacho watu wangeweza kushiriki. AT: "waliopoke Roho Mtakatifu"
|
|
|
|
# ambao walionja uzuri wa neno la Mungu
|
|
|
|
Kujifunza neno la Mungu kunaongelewa kana kwamba ilikuwa ni kuonja chakula. AT: "waliojifunza neno zuri la Mungu"
|
|
|
|
# nguvu za wakati ujao
|
|
|
|
Hii inamaanisha nguvuza Mungu wakati ufalme wake utakapo kuwa umetimilka duniani kote. kwa mantiki hii "nguvu" ina maanishaMungu mwenyewe, ambaye anamiliki nguvu zote.
|
|
|
|
# kisha wakaanguka
|
|
|
|
kupoteza uaminifu kwa Mungu kunaongelewa kana kwamba anguko la kimwili.AT: "walioacha kuamini katika Mungu"
|
|
|
|
# haiwezekani kuwarejesha tena katika toba
|
|
|
|
"Haiwezekani kuwarejesha tena kwenye toba"
|
|
|
|
# wamemsulubisha Mwana wa Mungu kwa nafsi zao
|
|
|
|
watu wanapoondoka kwa Mungu ni kana kwamba wanamsulubisha tena Yesu.
|
|
|
|
# Mwana wa Mungu
|
|
|
|
Hiki ni cheo muhimu ambacho kinaelezea uhusiano kwa Mungu.
|