forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
827 B
Markdown
24 lines
827 B
Markdown
# kanuni za msingi
|
|
|
|
kanuni hapa zinamaanisha maelekezo au viwango vya kufanya maamuzi. AT:"msingi wa ukweli"
|
|
|
|
# Mnahitaji maziwa
|
|
|
|
mafundisho kuhusu Mungu ambayo ni rahisi kuelewa yanaongelewa ni maziwa, chakula pekee ambacho watoto wachanga wanaweza kula. AT: "mmekuwa watoto na mnaweza kunywa maziwa pekee"
|
|
|
|
# si chakula kigumu
|
|
|
|
mafundisho ambayo ni magumu kuelwa yanaongelewa kana kwamba kilikuwa ni chakula kigumu, kifaacho kwa watu wazima.
|
|
|
|
# anywaye maziwa
|
|
|
|
anywaye linasimama ka kunywa.
|
|
|
|
# kwa sababu bado ni mtoto
|
|
|
|
hii inaongelea waumni ambao wanaweza kuelewa mafundisho rahisi ya injili kana kwamba walikuwa watoto halisi.
|
|
|
|
# ambao kwa sababu ya uzoefu wao katika kutofautisha haki na ubaya wamefundishwa kutambua jema na ovu.
|
|
|
|
watu walifundishwa kuelwa jambo wanaelezewa kana kwamba ni uwezo wa kuelewa umefundishwa.
|