forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
1.1 KiB
Markdown
36 lines
1.1 KiB
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Nukuu ya kwanza hapa (Kama nilivyoapa...) inatoka katika Zaburi, na nukuu ya pili (Mungu akapumzika...) inatoka katika Maandiko ya Musa, na ya tatu (Hawataingia...) inatoka katika Zaburi.
|
|
|
|
# Sisi tulioamini
|
|
|
|
"sisi tulioamini"
|
|
|
|
# watakao ingia katika pumziko hilo
|
|
|
|
Amani na ulinzi alioutoa Mungu vinaongelewa kana kwamba vilikuwa ni pumziko ambazo anaweza kuwapa, na kana kwamba ilikuwa ni sehemu ambayo watu wangeenda.
|
|
|
|
# Kama alivyo sema
|
|
|
|
"Kama vile Mungu alivyosema"
|
|
|
|
# Kama nilivyo apa katika hasira yangu
|
|
|
|
"Kama nilivyo apa wakati nilipokuwa nimekasirika sana"
|
|
|
|
# Hawataingia kwenye pumziko langu
|
|
|
|
Amani na ulinzi uliotolewa na Mungu vinaongelwa kana kwamba zilikuwa pumziko la kuwapa, na kana kwamba vilikuwa ni sehemu ambayo watu wangeweza kwenda.
|
|
|
|
# kazi yake ya uumbaji ilimalizika
|
|
|
|
Hii inaweza kuwekwa katika mfumo tendaji. AT: "alimaliza uumbaji" au "alimaliza kazi zake za uumbaji"
|
|
|
|
# tangu mwanzo wa dunia/ ulimwengu
|
|
|
|
Mwandishi anaongelea dunia kana kwamba ni jengo lililowekwa kwenye kwenye msingi.
|
|
|
|
# siku ya saba
|
|
|
|
Hii inasimama kama badala ya "saba"
|