sw_tn/heb/03/14.md

839 B

Maelezo ya Jumla:

Hii inaendelea kutoka Zaburi ile ile ambayo pia ilinukuliwa katika 3:7.

Kwa sababu tumekuwa

"Tumekuwa" hapa inamaanisha wote, mwandishi na wasomaji,

kama tutaendelea kushikilia ujasiri wetu katika yeye

"kama tukiendelea kutumaini katika yeye kwa ujasiri"

kutoka mwanzo

"tangu mwanzo tulipoanza kuamini katika yeye"

hadi mwisho

Hii ni namna ya kusema kwa upole ikimaanisha mtu anapo kufa.AT: "hadi tunakufa"

imesemwa

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "mwandishi aliandika"

Leo, ukisikia

Amri ya Mungu kwa Waisraeli zinaongelewa kana kwamba aliwapa katika hali ya kusikia. AT: "kama utasikia Mungu anaongea." Tazama kama ulivyo tafsiri 3:7.

kama katika kuasi

"Uasi" hapa unaweza kusemwa kama kitenzi. AT: "kama vile mababa zako walivyo muasi Mungu." Tanzama ulivyo tafsiri 3:7.