forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
839 B
Markdown
32 lines
839 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Hii inaendelea kutoka Zaburi ile ile ambayo pia ilinukuliwa katika 3:7.
|
||
|
|
||
|
# Kwa sababu tumekuwa
|
||
|
|
||
|
"Tumekuwa" hapa inamaanisha wote, mwandishi na wasomaji,
|
||
|
|
||
|
# kama tutaendelea kushikilia ujasiri wetu katika yeye
|
||
|
|
||
|
"kama tukiendelea kutumaini katika yeye kwa ujasiri"
|
||
|
|
||
|
# kutoka mwanzo
|
||
|
|
||
|
"tangu mwanzo tulipoanza kuamini katika yeye"
|
||
|
|
||
|
# hadi mwisho
|
||
|
|
||
|
Hii ni namna ya kusema kwa upole ikimaanisha mtu anapo kufa.AT: "hadi tunakufa"
|
||
|
|
||
|
# imesemwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "mwandishi aliandika"
|
||
|
|
||
|
# Leo, ukisikia
|
||
|
|
||
|
Amri ya Mungu kwa Waisraeli zinaongelewa kana kwamba aliwapa katika hali ya kusikia. AT: "kama utasikia Mungu anaongea." Tazama kama ulivyo tafsiri 3:7.
|
||
|
|
||
|
# kama katika kuasi
|
||
|
|
||
|
"Uasi" hapa unaweza kusemwa kama kitenzi. AT: "kama vile mababa zako walivyo muasi Mungu." Tanzama ulivyo tafsiri 3:7.
|