forked from WA-Catalog/sw_tn
915 B
915 B
Maelezo ya Jumla:
Nukuu hii inatoka katika Zaburi.
Mababa
"zenu" hapa linamaanisha watu wa Israeli
kwa kunijaribu
Mungu ndiye anayeongea
miaka arobaini
"miaka 40"
Sikufurahishwa
"Nilikuwa na hasira" au "sikufurahia kabisa"
mara zote wanapotoshwa katika mioyo yao
Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "mara zote wanaenda katika njia zisizomfurahisha Mungu"
mioyoni mwao
Neno "mioyo" inamaanisha akili au tamaa za
Wamevijua njia zangu
Hii inaongelewa katika hali ya kuyafanya maisha ya mtu kana kwamba ni zilikuwa ni njia. AT: "Hawaelewi jinsi nilivyowataka waishi katika maisha yao"
Hawataingia katika pumziko langu
Amani na ulinzi uliotolewa na Mungu unaongelewa kana kwamba zilikuwa pumziko ambalo angeweza kuwapa, na kama zilikuwa ni sehemu ambayo watu wangeweza kwenda. AT: "Hawataingia kamwe katika sehemu ya pumziko" au "sitawaruhusu kupata baraka zangu za pumziko"