forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
915 B
Markdown
36 lines
915 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Nukuu hii inatoka katika Zaburi.
|
||
|
|
||
|
# Mababa
|
||
|
|
||
|
"zenu" hapa linamaanisha watu wa Israeli
|
||
|
|
||
|
# kwa kunijaribu
|
||
|
|
||
|
Mungu ndiye anayeongea
|
||
|
|
||
|
# miaka arobaini
|
||
|
|
||
|
"miaka 40"
|
||
|
|
||
|
# Sikufurahishwa
|
||
|
|
||
|
"Nilikuwa na hasira" au "sikufurahia kabisa"
|
||
|
|
||
|
# mara zote wanapotoshwa katika mioyo yao
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "mara zote wanaenda katika njia zisizomfurahisha Mungu"
|
||
|
|
||
|
# mioyoni mwao
|
||
|
|
||
|
Neno "mioyo" inamaanisha akili au tamaa za
|
||
|
|
||
|
# Wamevijua njia zangu
|
||
|
|
||
|
Hii inaongelewa katika hali ya kuyafanya maisha ya mtu kana kwamba ni zilikuwa ni njia. AT: "Hawaelewi jinsi nilivyowataka waishi katika maisha yao"
|
||
|
|
||
|
# Hawataingia katika pumziko langu
|
||
|
|
||
|
Amani na ulinzi uliotolewa na Mungu unaongelewa kana kwamba zilikuwa pumziko ambalo angeweza kuwapa, na kama zilikuwa ni sehemu ambayo watu wangeweza kwenda. AT: "Hawataingia kamwe katika sehemu ya pumziko" au "sitawaruhusu kupata baraka zangu za pumziko"
|