sw_tn/heb/02/16.md

611 B

mbegu ya Ibrahimu

Wana wa Ibrahimu wanaongelewa kana kwamba walikuwa mbegu yake. AT: "wana wa Ibrahimu"

ilikuwa ni muhimu kwake

"ilikuwa ni muhimu kwa Yesu"

kama ndugu zake

Neno "ndugu" hapa linamaanisha watu kwa ujumla. AT: "kama wanadamu"

ili alete msamaha wa dhambi kwa watu

Kifo cha Yesu msalabani kinamaanisha kwamba Mungu anaweza kusamehe dhambi. AT: "ili kwamba afanye uwezekano wa Mungu kusamehe dhambi za watu."

alijaribiwa

Hii inaweza kusema katika mfumo tendaji. AT: " Shetani akamjaribu"

wanaojaribiwa

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "ambao shetani anawajaribu"