forked from WA-Catalog/sw_tn
611 B
611 B
mbegu ya Ibrahimu
Wana wa Ibrahimu wanaongelewa kana kwamba walikuwa mbegu yake. AT: "wana wa Ibrahimu"
ilikuwa ni muhimu kwake
"ilikuwa ni muhimu kwa Yesu"
kama ndugu zake
Neno "ndugu" hapa linamaanisha watu kwa ujumla. AT: "kama wanadamu"
ili alete msamaha wa dhambi kwa watu
Kifo cha Yesu msalabani kinamaanisha kwamba Mungu anaweza kusamehe dhambi. AT: "ili kwamba afanye uwezekano wa Mungu kusamehe dhambi za watu."
alijaribiwa
Hii inaweza kusema katika mfumo tendaji. AT: " Shetani akamjaribu"
wanaojaribiwa
Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "ambao shetani anawajaribu"