forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
611 B
Markdown
24 lines
611 B
Markdown
|
# mbegu ya Ibrahimu
|
||
|
|
||
|
Wana wa Ibrahimu wanaongelewa kana kwamba walikuwa mbegu yake. AT: "wana wa Ibrahimu"
|
||
|
|
||
|
# ilikuwa ni muhimu kwake
|
||
|
|
||
|
"ilikuwa ni muhimu kwa Yesu"
|
||
|
|
||
|
# kama ndugu zake
|
||
|
|
||
|
Neno "ndugu" hapa linamaanisha watu kwa ujumla. AT: "kama wanadamu"
|
||
|
|
||
|
# ili alete msamaha wa dhambi kwa watu
|
||
|
|
||
|
Kifo cha Yesu msalabani kinamaanisha kwamba Mungu anaweza kusamehe dhambi. AT: "ili kwamba afanye uwezekano wa Mungu kusamehe dhambi za watu."
|
||
|
|
||
|
# alijaribiwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kusema katika mfumo tendaji. AT: " Shetani akamjaribu"
|
||
|
|
||
|
# wanaojaribiwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "ambao shetani anawajaribu"
|