forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
1.0 KiB
Markdown
24 lines
1.0 KiB
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Nukuu hii inatoka katika Zaburi nyingine.
|
|
|
|
# Lakini ni malaika gani wakati wowote Mungu amesema...miguu?
|
|
|
|
Mwandishi anatumia swali kusisitiza kwamba Mungu hajawahi kumwambia malaika. AT: '"Lakini Mungu hajamwambia malaika yeeyote wakati wowote"'
|
|
|
|
# Keti mkono wangu wa kulia
|
|
|
|
Hapa mkono wa kulia unamaanisha sehemu ya heshima. AT: "Kaa karibu yangu katika sehemu ya heshima"
|
|
|
|
# Hadi nitakapo waweka maadui wako chini ya miguu yako
|
|
|
|
Maadui wa Kristo wanaongelewa kana kwamba watakuwa chombo ambachomfalme anaweka miguu yake, Picha hii inawakilisha kushindwa na aibu kwa maadui wake.
|
|
|
|
# Sio malaika wote ni roho... wanarithi wokovu
|
|
|
|
Mwandishi anatumia hili swali kuwakumbusah wasomaji wake kwamba malaika hawana nguvu kama Kristo, lakini wana jukumu tofauti. AT: "malakia wote ni roho ambazo... hurithi wokovu."
|
|
|
|
# kwa wale watakaorithi wokovu
|
|
|
|
Kupokea kile ambacho Mungu amewaahidi waumini imeongelewa kana kwamba wanarithi utajiri na mali kutoka katika mwana familia. AT: "kwa ajili ya wale wote ambao Mungu atawaokoa"
|