forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
445 B
Markdown
28 lines
445 B
Markdown
# Haghai... Zerubabel
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
|
|
|
# siku ya ishirini na nne ya mwezi
|
|
|
|
siku ya nee ya mwezi "Katika siku ya ishirini na nne mwezi wa tisa
|
|
|
|
# nitatikisa mbingu na nchi
|
|
|
|
Bwana atasabisha usumbufu katika nchi yao.
|
|
|
|
# mbingu na nchi
|
|
|
|
"ulimwengu wote"
|
|
|
|
# nitakiangusha kiti cha wafalme
|
|
|
|
Serikali zitaangushwa kwenye machafuko.
|
|
|
|
# Kiti cha kifalme
|
|
|
|
"serikali zilizoongozwa na wafalme"
|
|
|
|
# upanga wa ndugu
|
|
|
|
"Upanga wa askari mwenzake"
|